Marehemu Saidi Baamary (aliyesimama) akiwa na wadau wengine kwenye hafla ya kuwakumbuka wadau waliotangulia mbele ya haki iliyofanyika Jumamosi kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar. Marehemu alipata ajali ya kugongwa na gari jirani na ubalozi wa Ufaransa siku hiyo hiyo na kufariki hapo hapo. Amezikwa leo mchana makaburi ya Kisutu. Mola aiweke roho yake mahali pema peponi - Amin
Mtu mzima Philemon na mpunga wake.Kwa picha zaidi za hafla hii
BOFYA HAPA
Kwa habari ya awali na majina
BOFYA HAPA






Michuzi samahani sijakuelewa vizuri. Yaani unasema Marehemu alihudhuria hii hafla ya kumkumbuka?
ReplyDeleteeeh philemon kakucha tu ama kweli pesa inakufanya mtu usizeeke
ReplyDeleteHongera balozi Sisco Mtiro na washiriki kwa kuaandaa hitma ya kuwakumbuka wenzetu waliotangulia mbele ya haki.Inatia moyo na ni upendo na umoja wetu Watanzania bila kujali dini au rangi.Mola tulinde watanzania na upendo wetu. Mdau Trondheim.
ReplyDeleteRest in peace dear Uncle
ReplyDelete