Kikosi cha Kilimanjaro Stars
Kikosi cha Ivory Coast.

TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara "Kilimanjaro Stars" leo inajikita tena katika wanja la neshno kusaka ubingwa wa Afrika Mashariki na kati kwa kukipiga na timu ya Taifa ya Ivory Coast.

Hivyo wadau woote tunapaswa kuiombea timu yetu hii ili iweze kuchukua ubibwa huu.

Kilimanjaro Stars ambayo imeweza kuonyesha kiwango cha hali ya juu katika mashindano haya ya CECAFA katika mechi zake zote ilizocheza,leo timu yetu hii inakipiga katika fainali na timu Ivory Coast ili kuwania ubingwa huo.

Hivyo basi tunaombwa kujitokeza kwa wingi ili kuipa sapoti timu yetu hii.

Mungu Ibariki Kilimanjaro Stars...

Mungu Wabariki wachezaji wote wa timu hii...

Mungu Ibariki Tanzani...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. SAA NGAPI MECHI INAANZA? TUPE MUDA MZEE NI MUHIMU SANA.

    ReplyDelete
  2. so sad Ngasa hatakuwepo!11

    ReplyDelete
  3. kuna online link ya ku watch live ?

    ReplyDelete
  4. SAWA tunaiombea dua Kili ichukue UBIBWA kama ulivotaka,

    ReplyDelete
  5. http://www.ethiosports.com/2010/12/09/schedule-change-ethiopia-vs-ivory-coast-semi-final-match-to-take-place-tomorrow/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...