Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. naupenda sana wimbo huu.umenipa furaha sana kwani huku niliko mimi sina ndugu.wazungu ndio ndugu sangu sasa.nawashukuru sana baba na mama kwakuni peleka shule.

    ReplyDelete
  2. Kaka Michuzi asante sana kwa kutuwekea wimbo huu hasa sisi tulio nje ya nchi tunafarijika kusema kweli ila nachotaka kujua ni kuwa Bendera ya Kenya inahusika vipi hapo? na Mbona ya TZ ni kaduchu hii ni kuonyesha kuwa huu wimbo ni wa Kenya basi na si wetu sisi Watanzania. Kama ni kapicha weka Twiga au Mlima Kilimanjaro basi huu ni mtazamo tu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...