MAREHEMU DR. FRANK MARTIN ELIA
03/07/1948 - 04/12/2008

Ni miaka miwili kamili leo tangu ulipotutoka ghafla tarehe 4/12/2008 na kutuachia majonzi makubwa sana katika familia.

Japo tunaamini kwamba kimwili haupo nasi lakini bado tunaamini kuwa kiroho upo nasi na maana twasononeka kila tukukumbukapo, tunaamini ya kuwa uko mahala pema mbinguni.

Tunaamini Mungu amekuwashia taa ewe Baba yetu mpendwa,Dr Elia katika giza na mkono wako wa kuume ukimwongoza. Unakumbukwa sana na mkeo Mwl Grace Elia, wanao Martin, Emmanuel na Esther, ndugu, jamaa na watu wote waliokufahamu.

Mungu aipumzishe roho yako mahali pema peponi,milele na milele Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dr Elia Tulikuwa wote Botany Department- UDSM. Hatupo nawe kimwili lakini kimoyo upo nasi. Mungu akujaalie huko uliko

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...