Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyu jamaa huwa ananivunj mbavu sana. Cha kunichekesha zaidi ni wale wana bendi wenzie, sijui anawalipa nini, maskini wazungu wa watu... hahaha sasa naona timu imeongezeka na weusi ndani...Halaf mwenyewe hana hata habari... yuko so happy stajini..... Hahaha.. Babu Kajuuuu!! Yale mahela yapo au ndio umewekeza kwenye mziki??

    ReplyDelete
  2. IF YOU GO TO AFRICA MAKE SURE YOU GOT SOMETHING TO PROTECT YOURSELF !!!LOL


    mdau Paris

    ReplyDelete
  3. mnyonge mnyongeni, lakini babu kajuu, anatisha kwenye liveband. salute inshomile

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...