YAANI MPAMBANO ULIKUWA TAREHE 13, SIKU YA JUMATATATU ,NA WALE JAMAA WACHIMBA CHINI WALIOKWAMA KULE CHILE WALIKUWA WAGENI WA MANUTD SIKU HIYO WALIKUWA 33, NA CHA AJABU KABISA NA KUSHANGAZA HATA ALIEFUNGA GOLI ALIVAA NAMBA 13 JI SUNG PARK (PICHANI).

HIVI WATU WA MAHESABU YA UNAJIMU MUNATUAMBIAJE...NA MNAZI ALIE KAA PEMBENI YANGU ANANAMBIA HAPA TUNAPOISHI SWEDENI PAMBANO LILIANZA SAA TATU KWA SAA ZAHAPA..TEH..TEH...

BY MBAJUNI WA KWELI
STOCKHOLM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. HUYU JI SUNG PARK NI GOLI LAKE LA TATU LAMSIMU NA HATA NI MARA YAKE YATATU KUWAFUNGA HAWA ARSENAL HAPANAPO VIPI?

    ReplyDelete
  2. Sasa mbona magoli yaliyofungwa sio matatu?

    ReplyDelete
  3. there is no any correlation, hizo ni Imani tu zisizo na maana.

    ReplyDelete
  4. making something out of nothing!!!!

    ReplyDelete
  5. If you belive that, then you would believe everything.

    ReplyDelete
  6. na hata huku bongo ilianza saa 2300hrs

    ReplyDelete
  7. unatuzingua kwa takwimu za uongo..kamwambie babaako

    ReplyDelete
  8. MkandamizajiDecember 15, 2010

    ila wachimba madini hawakuja wote walikuwa 26..... labda useme hiyo ni 2 mara 13 hapo sawa.....

    ReplyDelete
  9. abuu mtanga una matatizo sana ila ukifungwa huwa unatoa kauli chafu

    ReplyDelete
  10. Lilikuwa goli lake la nne

    ReplyDelete
  11. ilikuwa goli lake la sita la msimu si la nne wala la tatu

    ReplyDelete
  12. Nitakuonya mara TATU, usipoacha imani za kishirikina basi maisha yako yatakuwa ya kusubiri silabi TATU yaani BAHATI AU NASIBU

    ReplyDelete
  13. freemason number 3 holy trinity...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...