Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akiongea na na Balozi wa Msumbiji hapa nchini Mh. Amour Zacarias Kupela ofisini kwake Magogoni jijini Dar walikofanya mazungumzo ya kikazi
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda katika mazungumzo na Balozi wa Falme za Kiarabu (UAE) hapa nchini Mh. Mallalla Mubarak al Amirer alipomtembelea ofisini Magogoni jijini Dar leo. Picha na mdau Chris Mfinanga.
Naona pinda anapata wageni kila kukicha !lol
ReplyDeletemdau paris
HUYU BAROZI NI TYPICAL AFRICAN. LABDA NDIO ZILE NYAKATI WALIZOKUA WANATUPELEKA HUKO. NA MPAKA SASA MBEGU YETU YA AFRICAN INAENDELEA NICE BAROZI
ReplyDeletekumbe hata arabuni kuna weusi (waarabu weusi) jamaa husema waamerika tuu na kuwa watumwa wa uarabuni waliuwawa kwa sababu ya ukatili wa dini. Uongo mkubwa, mnasaidia dini yenu?
ReplyDelete