MECHI KATI YA TAIFA STARS NA UGANDA INAENDELEA HIVI SASA HUKO MISRI NA MATOKEO BADO NI KWAMBA TAIFA STARS WANAONGOZA BAO 1-0 NA SASA NI DAKIKA YA 40.

ENDELEA KUANGALIA LIVE MECHI HIYO KWA KUBOFYA HIYO LINK HAPO CHINI.

MPIRA UMEISHA NA MABAO KATI YA TAIFA STARS NA UGANDA CRABE NI 1-1 AMBAVYO NDIO KUSEMA TANZANIA IMEAGA MASHINDANO HAYA YA BONGE LA MTO NILE MWAKA HUU...

http://www.ag1tv.info/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Asante mkuu kwa linki hii. Natizama mechi kama vile nipo uwanjani Misri.

    ReplyDelete
  2. Mbona inaonekana bao ni kama 1-0. Shida seelewi kiarabu lakini kuna mtu keshapigwa bao.

    ReplyDelete
  3. kaka nashukuru kwa link ila nimepata shida kidogo ya mtandao mzigo haufunguki kabisa though najitahidi sana,plz keep kutupatia matokeo kadri yanavyopatikana,goli kafunga nani?nipo gaborone botswana kaka.
    doug.

    ReplyDelete
  4. uganda wamesawazisha, na naona lilikuwa goli la kipuuzi kweli, Kaseja alifanya kunyoosha mkono tu akidhani mpira unatoka

    ReplyDelete
  5. HII mechi tukishinda itabidi tuchinje ngamia. Washambuliaji wetu hawajatulia kabisaaaaaaaaaaa.
    Tunafungwa si chini ya goli tatu, nitimu yetu ila hali halisi ndio hio.

    ReplyDelete
  6. mbona hiyo link tunaona mechi ya kongo?

    ReplyDelete
  7. niaje matokeo ya ujumla?

    ReplyDelete
  8. mechi imekwisha na matokeo ni Tanzania 1 na Uganda 1
    maskini Taifa Stars.

    ReplyDelete
  9. niaje matokeo Taifa stars vs the cranes? Mbona Ankal umeweka utamu halafu humalizii kuweka matokeo yote. sisi wakereketwa wa Taifa stars tunayahitaji matokeo hayo!

    ReplyDelete
  10. Duh! Kaseja ametuangusha kwa kufikiria mpira unatoka nje!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...