Hello Ankal Michuzi,
Naomba nikutakie heri ya mwaka mpya ! Pole na libeneke la kutuhabarisha.
Ankal naitwa Humphrey N. Malulu toka A-town !
Hapa nipo katika vacation yangu Dec 2010 huko Zanzibar ambao kesho 12 Jan
wanaadhimisha siku ya Mapinduzi. Hapo nilikuwa naingia mji mkongwe kuanza vacation kama zile zako.
Nawatakia wazanzibar wote siku njema ya Mapinduzi.
Ahsante na Libeneke oye!
Humphrey Nicolas Malulu
Naomba nikutakie heri ya mwaka mpya ! Pole na libeneke la kutuhabarisha.
Ankal naitwa Humphrey N. Malulu toka A-town !
Hapa nipo katika vacation yangu Dec 2010 huko Zanzibar ambao kesho 12 Jan
wanaadhimisha siku ya Mapinduzi. Hapo nilikuwa naingia mji mkongwe kuanza vacation kama zile zako.
Nawatakia wazanzibar wote siku njema ya Mapinduzi.
Ahsante na Libeneke oye!
Humphrey Nicolas Malulu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...