ONYESHO LA MAVAZI YA MBUNIFU JAMILA SWAI AKISINDIKIZWA NA BINTI AFRIKA, KIM DEAN NA FRANKO DESIGNS TAREHE 25 MWEZI WA PILI 2011 KATIKA HOTELI YA DOUBLE TREE BY HILTON

KIINGILIO NI KWA MUALIKO TU

VILE VILE KUTAKUWA NA MAUZO YA JEWELERY, VIATU, COSMETICS, HANDBAGS KUTOKA KWA UNIQUE PEARL COLLECTION, MIMI’S COLLECTION, JACKYZ COSMETICS NA AMINA DESIGN

PIA NGUO ZA WABUNIFU WA HAPA NYUMBANI ZITAUZWA

KWA MAWASILIANO KUHUSU KADI YA MUALIKO

SIMU – 0755 551077/0755804489

EMAIL – info@mitindohouse.org

WEBSITE – www.mitindohouse.org

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii heading ni style au ni bahati mbaya mtu kakopy email hadi kule juu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...