OK MZEE MICHUZI NYIMBO YA MAMBO BADO IMETOKA HIPO HAPO KWA WATANZANIA WOTE WANAWEZA KUSIKILIZA NA WAKATOA MAONI. ORIGINAL NI WIMBO WA MZEE MAKASI NIMEIRUDIA KWENYE MIPIGO YA KISASA NA NINA MIPANGO YA KURUDIA NYIMBO NYINGI ZILIZO PIGWA NA MABINGWA NA WAZEE WETU WA ZAMANI .KWA HIYO WA BONGO MAMBO BADO MENGI YANAKUJA KUTOKA KWA ALEX KAJUMULO THE ORIGINAL BUSHMAN http://www.reverbnation.com/play_now/song_7157211

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hakikisa unapata right na sio unajipigia tu nyimbo za watu

    ReplyDelete
  2. Alex nimekubali vyombo ni moto ktk kibao hiki Remix ya Mambo Bado.

    Ila kuwaenzi Makassy ukitoa video hakikisha pia ni ya ubora wa juu kabisa kama wimbo wa Mambo Bado ya 'Muleba, Darisalaamu,Nairobi na Seattle'.
    Mdau
    Visiwani Honolulu
    Bahari ya Pasifiki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...