Bro Michuzi Assalaam alaykum,

Tafadhali naomba unisaidie kunikutanisha na wadau mbalimbali wa hapa mtandaoni ili wanisaidie kupata baadhi ya vifaa ninavyohitaji.

Vifaa hivyo ninavyohitaji viwe used ama vipya na viwe hapa Nchini au vya kuagiza toka nje ni Mixer ya kukandia unga yenye uwezo wa kukanda unga kuanzia Kilo 25 na kuendelea na Bread Oven yenye uwezo wa kuhifadhi mikate zaidi ya 60 kwa wakati.

Tafadhali kwa yeyote atakayekuwa na ufahamu wa vitu hivyo si mbaya kunijulisha kupitia namba yangu na mail nilivyoorodhesha hapa chini.

HASSAN MBILILI
MOB:+255 715 251148
mail: hmbilili@yahoo.com

Wakatabahu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...