Bro Michuzi Assalaam alaykum,
Tafadhali naomba unisaidie kunikutanisha na wadau mbalimbali wa hapa mtandaoni ili wanisaidie kupata baadhi ya vifaa ninavyohitaji.
Vifaa hivyo ninavyohitaji viwe used ama vipya na viwe hapa Nchini au vya kuagiza toka nje ni Mixer ya kukandia unga yenye uwezo wa kukanda unga kuanzia Kilo 25 na kuendelea na Bread Oven yenye uwezo wa kuhifadhi mikate zaidi ya 60 kwa wakati.
Tafadhali kwa yeyote atakayekuwa na ufahamu wa vitu hivyo si mbaya kunijulisha kupitia namba yangu na mail nilivyoorodhesha hapa chini.
HASSAN MBILILI
MOB:+255 715 251148
mail: hmbilili@yahoo.com
Wakatabahu.
Tafadhali naomba unisaidie kunikutanisha na wadau mbalimbali wa hapa mtandaoni ili wanisaidie kupata baadhi ya vifaa ninavyohitaji.
Vifaa hivyo ninavyohitaji viwe used ama vipya na viwe hapa Nchini au vya kuagiza toka nje ni Mixer ya kukandia unga yenye uwezo wa kukanda unga kuanzia Kilo 25 na kuendelea na Bread Oven yenye uwezo wa kuhifadhi mikate zaidi ya 60 kwa wakati.
Tafadhali kwa yeyote atakayekuwa na ufahamu wa vitu hivyo si mbaya kunijulisha kupitia namba yangu na mail nilivyoorodhesha hapa chini.
HASSAN MBILILI
MOB:+255 715 251148
mail: hmbilili@yahoo.com
Wakatabahu.
UNATAKA KUWA BWANA MIKATE!
ReplyDelete