Wanafunzi wa mwaka wa tatu(3) wa Bachelor of Business Administrations(BBA) wanasikitika kutangaza kifo cha mwanafunzi mwenzao MANYAMA RUHUMBIKA kilichotokea siku ya jumanne 08/02/2011 nyumbani kwake flats za tazara veterinary,,temeke dar-es-salaam.

Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu MANYAMA RUHUMBIKA kwenda kwao musoma inafanywa nyumbani kwa marehemu.

Habari ziwafikie wanafunzi wote wa KIU,marafiki,ndugu na jamaa popote walipo.

Tunaomba tushiriki kikamilifu katika msiba huu wa rafiki yetu,ndugu yetu na jirani yetu katika safari yake ya mwisho

Asanteni

Wadau,

BBA students-Kampala International University(KIU)-DSM Campus

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. We will miss you brother.
    RIP

    ReplyDelete
  2. Poleni ndugu zetu tuko pamoja nanyi katika wakati huu mgumu, Mungu awatie nguvu, Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...