Saloon ya kisasa iliopo maeneo ya ya Tegeta Nyaishozi,ina vifaa vyote vya ndani.
mnunuzi hatalipia kodi ya mwaka mzima.
ina A/C,Heater ya maji ya moto,Steamer,Tv pamoja na Washing Chair,etc.

Atakae nunua anapata vifaa vyote vilivyopoto ndani na nje ya Saloon hii ya kisasa pamoja na kodi ya mwaka mzima bure!!

Wahi Sasa!!!

Bei ni Tsh 15M.


kwa mawasiliano 0655 844 266 au 0784 844 266
inavyoonekana ukiwa kwa nje.
kabati la kuhifadhia vifaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ankal naomba uniulizie kabisa hakuna kambi ya jeshi karibu,shukran.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...