Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara,Yusuf Mahmoud akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Tamasha hilo usiku huu katika viwanja vya Ngome Kongwe,Zanzibar.Makamu Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti Za Busara,Simai Said akitambulisha baadhi ya wadau wakuu walioweza kufanikisha Tamasha hilo kwa mwaka huu wa 2011 katika viwanja vya Ngome Kongwe usiku huu.Bendi ya Percussion Discussion Africa kutoka nchini Uganda ikitumbuziza usiku huu katika Tamasha la Sauti Za Busara 2011 ndani ya viwanja vya Ngome Kongwe,Visiwani Zanzibar.Kikundi cha Ngoma cha Wanyambukwa kutoka Mkoani Dodoma,Tanzania kikitumbuza moja ya nyimbo zao za asili ya Kigogo.
Vijana wa Jahazi Modern Taarab,wakikirudi Kiduku kwa staili ya aina yake wakati wa muendelezo wa Tamasha la Sauti Za Busara 2011 usiku huu ndani ya viwanja vya Ngome Kongwe,Zanzibar.

Kwa Picha Zaidi

BOFYA HAPA
au
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...