Matenki ya Maji safi na Salama yaliyowekwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika shule ya msingi ya Daraja mbili,iliyopo Mkoani Arusha.Matenki haya wamewekwa katika shule hiyo ili kuifanya shule hiyo iweze kujipatia maji safi na salama kutokana na mradi unaoendelezwa na kampuni hiyo ya bia hapa nchini.Mradi huu wa maji safi na salama uliogharimu kiasi cha sh. mil. 17 utasaidia kupunguza,kuutokomeza kabisa uhaba wa maji safi na salama kwa shule hiyo pamoja na wakazi wa maeneo ya jirani na shule hiyo.
sehemu ya mabomba ya maji hayo ikiwa bado haijamalizika vizuri,huku mafundi wakiendelea na shughuli yao ya uboreshaji wa karo la kuhifadhia maji hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...