Home
Unlabelled
JK akutana na bosi wa Vodacom Group Ikulu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani Mwamvita..tunavyokuhusudu ukavaa suti nzuri hivyo na viatu vyekundu? Mbona makubwa hayo?
ReplyDeleteMwacheni mtoto wa kisambaa avae anavyotaka. Ana amani moyoni kwa vile ana pesa za kumtosha hata akivaa msivyotaka.
ReplyDeletesuti blue viatu vyekundu ?????? mchemsho
ReplyDeleteJamani siku hizi ndio fesheni kuchanganya rangi kama hamjui, ukivaa rangi zinazo fanana unaonekana wa mwaka 47 kwa hiyo anaenda sambammba na wakati, sie tuliobaki nyuma ndio tunaona kachemsha
ReplyDeleteJamani Watz acheni hayo hadi naogopa kurudi home maana huku Ughaibuni
ReplyDeletetunavaa tunavyotaka hatuvai mnavyotaka, ukijiagalia kwa kioo ukaona unapendeza na umeoga ukapaka mafuta na kapafium kidogo basi.