Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kushoto) wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa masuala mbalimbali ya wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam. Rais Kikwete aliitembelea wizara hiyo ikiwa ni sehemu ya utaratibu aliojiwekea wa kuzitembelea wizara , idara na taasisi mbalimbali.
Baadhi ya watendaji wa wizara ya Ujenzi wakifuatilia kwa makini hotuba ya Rais Jakaya Kikwete leo jijini Dar es salaam.
Rais Dkt. Jakaya Kikwete (katikati) akizungumza jambo na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (wa pili kutoka kushoto) na Naibu waziri wa Ujenzi Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kutoka kulia) mara baada ya kukamilisha ziara yake katika wizara ya Ujenzi leo jijini Dar es salaam.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. y do the ministry spend the decoration expense n flags when president visit !

    Y beautify it.

    you not welcoming another president from another country...he is your boss ... let him visit your office as it is ?

    government dont have money n y spend 300,000 -900,000 on decoration ! just to make the president happy or just to prove the ministry loves Tanzania ?

    so pathetic ! concentration your your work and spend the money wisely and efficiently !

    ReplyDelete
  2. hongera doctor jk kama baba kwenda kwa mwanao ila baba mbona magufuli kajipanga vizuri ila mnamtoa meno, baadae atakuwa mbwa asiye na meno mpeni meno huyu jamaa kichwa kizuri watu wataelewa tuuu, mbona vitunda bomba sana zajuu atawez??? kama mmeanza hivyo mzee bila kufoka hatuendi mzee tupo na wewe pamoja nilikupigia pia na nilishauri watu sita wakupigie sikupendwa na wengi ila unaharibu mzee.

    ReplyDelete
  3. najua hamta itoa coment yangu ila ukweli ni kwamba foleni zinaboa makufuli ataondoa hana siasa ktk kazi yuko kama mimi.

    Ras j.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...