Mwenyekiti wa Veta, Prof. Idrissa Mshoro, akibadilishana mawazo na Naibu Waziri Elimu na Ufundi Stadi Mhe. Philipo Augustino Mulugo kwenye Kongamano la Veta linalofanyika kwa siku mbili mjini Arusha.
-Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Eng. Zebadiah Moshi, (aliyesimama)akizungumza kwenye Kongamano la Veta mjini Arusha leo. Katikati ni mwenyekiti wa Veta Kanda ya Kaskazini, Frank Maro na Kulia ni M/Kiti wa Bodi ya Veta, Prof. Idrissa Mshoro.
Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Eng. Zebadiah Moshi, akizungumza na waandishi wa Habari toka vyombo mbalimbali vya habari kwenye Kongamano la siku mbili la Veta mjini Arusha.
Mwenyekiti wa Bodi ya Veta, Prof. Idrissa Mshoro,akizungumza na waandishi wa Habari toka vyombo mbalimbali vya habari kwenye Kongamano la siku mbili la Veta mjini Arusha.
Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi Stadi, Mhe. Philipo Augustino Mulugo akizungumza na waandishi wa Habari toka vyombo mbalimbali vya habari kwenye ongamano la siku mbili la Veta mjini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. What is VETA? Umeeandika weee lakini hukugusia hata kuelezea hiyo VETA ni nini? AS if wote tunajua habari yako sasa unamalizia tu...Uandishi huu wa habari ni wa haraka haraka...

    ReplyDelete
  2. Hao VETA wasileta utani kwanza hawataki kutangaza USAJILI wa vyuo vilivyo sajiliwa na VETA ukanda wa dar es salaam huu ni mwaka wa 3 sasa tangia wamekagua vyuo vya ufundi mkoani hapa

    jamani mimi naona hiyo bodi imekosa kazi ya kufanya
    ila ni kutafuta ulaji tuuuuu kupitia vikao na mikutano


    TANGAZEKNI USJAILI HARAKA
    HAMUONI AINU MIKA 3 WATU WANASUBIRI REGISTRATION
    NA NYIE MNAVAA SUTI KABISAAAA ETI BOARD MEMBERS WA VETA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...