Home
Unlabelled
Makamu wa pili wa Rais Zanzibar akutana na wanahabari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yaani nikiangalia ukubwa wa Zanzibar na shughuli za kimaendeleao zilizoko sioni kabisa umuhimu wa kuwa na rais, makamu wa kwanza wa rais, makamu wa pili wa rais, bunge, spika, naibu spika, baraza la mawaziri.....wakati hali iko hohe hahe....
ReplyDeleteMakamu wawili kinaeleweka sababu ya Serikali ya Umoja wa kitaif ila ambacho sielewi kwanini kuwe na makatibu wakuu na manaibu wake wakati waziri husika anaweza kufanya kazi za katibu mkuu.
ReplyDeleteHata wizara ziko nyingi sana kulinganisha na size ya Kisiwa chenyewe. Anyways, ndio mambo ya kupeana ulaji alafu wanapanda ndege kwenda nje kutafuta/kuomba misaada wakati tatizo ni kwamba matumizi ni mengi na wananchi hawajawezeshwa kujikwamua kiuchumi....