Mkuu wa udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza akimkabidhi zawadi ya Modem Nils Sulzer,mara baada ya kuibuka mshindi kwa watoto wadogo walioshiriki mbio hizo za Vodacom closing regatta,katikati Ofisa huduma na bidhaa wa kampuni hiyo Elihuruma Ngowi.
Baadhi wa washiriki wa mbio za mashua za Vodacom closing regatta wakichuana vikali katika mbio hizo zilizofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi hapo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...