Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wanasheria Tanzania (TAWLA) Maria Kashonda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar e salaam juu ya mkutano mkuu wa mwaka kwa wanachama wa TAWLA siku ya Jumamosi (26.3.2011) . Mkutano huo utafanyika katika Ukumbi wa kimataifa wa Dar es salaam(DICC) juu ya uzinduzi wa kampeni ya uelimishaji jamii juu ya ushiriki wao katika mchakato wa kutunga Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wengine katika picha ni Mweka Hazina wa TAWLA Aisha Bade(kulia) na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA na Wakili wa Kujitegemea Victoria Mandari(kushoto)
Home
Unlabelled
TAWLA yakutana na waandishi wa habari jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...