Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wanasheria Tanzania (TAWLA) Maria Kashonda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar e salaam juu ya mkutano mkuu wa mwaka kwa wanachama wa TAWLA siku ya Jumamosi (26.3.2011) . Mkutano huo utafanyika katika Ukumbi wa kimataifa wa Dar es salaam(DICC) juu ya uzinduzi wa kampeni ya uelimishaji jamii juu ya ushiriki wao katika mchakato wa kutunga Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wengine katika picha ni Mweka Hazina wa TAWLA Aisha Bade(kulia) na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA na Wakili wa Kujitegemea Victoria Mandari(kushoto)
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano leo jijini Dar es salaam na uongozi wa Chama cha Wanawake wanasheria Tanzania (TAWLA) . TAWLA inatarajia kuzindua kampeni ya uelimishaji jamii juu ya ushiriki wao katika mchakato wa kutunga Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya Jumamosi 26.03.2011 jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...