SIKU: JUMAMOSI ­(30/4/2011)

MUDA: SAA 3:30 ASB – SAA 8:00 MCH

MAHALI: UKUMBI WA NKRUMAH-UDSM

KAULI – MBIU: Tafakuri ya kina juu ya Azimio la Arusha. Je, Lina Nafasi katika Mjadala wa Katiba Mpya?

MTOA MADA: Prof. ISSA G. SHIVJI

WAANDAAJI: SAUTI YA VIJANA TANZANIA (SAVITA – UDSM)

& PHILOSOPHY CLUB

MAWASILIANO: 0717340670/0784641031 (Sabatho Nyamsenda) 0713415001 (Hatib Yusuph)

NYOTE MNAKARIBISHWA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Azimio la Arusha kwa sasa halifai tena kwani lilikuwa ni mawazo ya mtu mmoja. Ushauri wangu ni kuwa liwekwe kwenye vitabu vya historia na watu kulisahau rasmi. Mawazo yake sasa hayatekelezeki.

    ReplyDelete
  2. Hata hayo unayoyasema ni mawazo yako. Ni ya mtu mmoja. Hoja ya kufaa au kutofaa kwa kitu ni usahihi na ubora wake, haijalishi yametolewa na nani? Nakushauri kasome vema historia, Azimio lilipitishwa na halmashauri kuu ya TANU, mwaka 1967? Swali: Je, Halmashauri kuu ya TANU ilikuwa na mtu mmoja? Nakushauri uhudhurie Kongamano hilo, au uangalie live ITV, kujua Azimio la Arusha ni nini hasa; lilianzia wapi, kwa nini... Nakushauri ulitafute na kulisoma. Huko Ughaibuni, watu hulichambua na kulichukulia Phd. Hapa nchini, watu wa aina yako, mnalidharau - pengine pasi na kulisoma. Huko Ughaibuni, Tanzania iliheshimika kutokana na misingi ya utu, usawa na uadilifu chini ya Azimio la Arusha. Hapa nchini, tunalitukana Azimio, tewna kwa hoja dhaifu, zisizo na mantiki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...