Marehemu Elizabeth A. Mwingira wakati wa uhai wake.

Ni masaa,siku,wiki na hatimae leo umetimiza siku arobaini tangu ulipotutoka mapema mwezi uliopita.Unakumbukwa na Mume wako Alphonce V. Mwingira na watoto wako Vitus, John na Honest tulikupenda sana. 

Hata hivyo aliyekupa uhai na kukufanya Mke wa Alphonce na mama ya Vitus, John na Honest alikupenda zaidi. Katika kipindi cha uhai wako umefanya kazi kubwa sana hapa duniani ikilinganishwa na umri wako. Baadhi ya kazi hizo ni kusaidia na kuwezesha wasio na uwezo, kazi ya kuunganisha watu pale palipotokea matatizo, kazi za kijumuiya, na kadhalika. 

Ulikuwa mcha Mungu usiyochoka. Sisi hatuna shaka yoyote kwamba sasa unapumzika kwa amani mbinguni. Tutakukumbuka milele.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana litukuzwe.

Alphonce

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2011

    jamani, nimependa mno sifa za marehemu. inapendeza mtu anapofanya mema na kuacha kumbukumbu zinazoliwaza duniani.
    naiombea roho yako iende peponi elizabeth mwingira.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 21, 2011

    mzuri jamani du! vizuri havidumu duniani naona Mungu huwa anaona wakiendelea kuishi watakujakumkosea bora awapumzishe ili waende mbinguni. RIP Elizabeth Mwingira.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 21, 2011

    she was the most beautifull woman,may God rest her in peace.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...