Mdau Jacob Mwashiozya akiwa na my wife wake baada ya kula nondozzz ya master fo Business Administration in Finance and Risk Management kutoka chuo  cha Saint Peter's College, New Jersey, Marekani .
 Mdau akiwa na rafiki, my wife, na watoto baada ya kula nondozzz ya MBA in Finance and Risk Management kutoka chuo cha Saint Peter's College kilchopo New Jersey, Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...