baadhi ya wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiangalia gari dogo aina ya Toyota Corolla lililokuwa linaendeshwa mtu aliyejulikana kwa jina moja la Matungwa ambalo lilitumbukia kwenye daraja lililoko karibu na hospitali kuu ya mkoa wa Kagera mara baada dereva wa gari hilo kushindwa kukata kona kutokana na mwendo kasi aliokuwa nao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2011

    Mwendokasi!!!Ukiwa mshamba ghafla ukapata pesa nyingi ukanunua gari, ukajifunzia mtaani udereva bila ya kwenda shule na ukaelewa kuendesha barabarani sasa hizo mbwembwe zake si mchezo, ni kulipeleka tu gari bila hata ya kujari sheria barabarani, kuovateki. Mshamba yule ndio mwenye haraka zaidi kuliko hata madereva wenziwe barabarani.Honi kila wakati pasipo hata sababu barabarani(haraka haina baraka). Yawezekana "Ta Matungwa" ndio wamojawapo hao akaingia mzimamzima mtaroni.Lakini si wote wenye matendo hayo mabaya barabarani, wapo wenye kufikiria juu ya faida ya uwepo woa hapa duniani. Pole sana kwa kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...