Nape akizunguma na wanafunzi hao wa UDOM
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnayue akimkabidhi cheti cha mwanachama mwaminifu wa CCM, Mwenda Omari, katika sherehe ya kuwaaga wahitimu wa mwaka wa tatu wa chuo hicho, iliyofanyika jana kwewnye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnayue akimkabidhi cheti cha mwanachama mwaminifu wa CCM, Dotto Omari, katika sherehe ya kuwaaga wahitimu wa mwaka wa tatu wa chuo hicho, iliyofanyika jana kwewnye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma
 Mwenyekiti mstaafu wa CCM tawi la  CCM, Chuo cha Sanaa, Lugha na Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Dodoma, Salum Nyambi, ambaye anasoma shahada ya Uhusiano wa Kimataifa,  akimkabidhi kitabu cha Azimio la Arusha, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, katika sherehe ya kuwaaga wahitimu wa mwaka wa tatu wa chuo hicho, iliyofanyika jana kwewnye ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma.
 Baadhi ya wahitimu wa mwaka watatu Chuo cha Sanaa, Lugha na Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Dodoma, wakiwa kwenye sherehe hiyo
Nape akizungumza na Mwwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya herehe hizo, Kitima Thomas. Picha zote na mdau Bashir Nkoromo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2011

    Waungwana hiim imekaaje maana Chadema walikwenda Udom wakaambia ni marafuklu siasa za vyama kuzipeleka kwenye taasisi za elimu, je na hapa watatoa tamko jingine au hapa ndio wanamezea kabisa. Na je Mkuu wa Chuo hakuliona ili na Waziri wa Elimu naye ameona? Je Nape ina maana alikuwa hana taarifa kuwa ni marufuku kuingiza siasa vyuoni.
    Nadhani siasa za Tanzania ni umamluki tu wengine wanakatazwa wangine wanafanya. Kama ni msumeno ukate pande zote

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 23, 2011

    Tunawapatia miezi mitano ya kutafuta kazi mtaani, nina hakika baada ya miezi mitano watakuwa na maamuzi sahihi, vinginevyo wapatiwe ajira makao makuu ya chama. Hapa wako under influence of quid pro quo return.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...