Kada wa CCM, Shy-Rose Bhanji akikabidhi kitita cha sh. milioni moja kwa nahodha wa timu ya vijana wa CCM, Jackson Zola ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa kwa timu hiyo endapo ingeibuka mshidi katika mashindano ya soka kwa timu za vijana wa CCM, iliyoshirikisha majimbo nane ya mkoa wa Dar es Salaam. 
 Mwenyekiti wa UVCCM  wilaya ya Kinondoni Ndg Emmanuel Makene akizungumza katika hafla hiyo
Shy-Rose akizungumza na wachezaji wa timu hiyo. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...