Kada wa CCM, Shy-Rose Bhanji akikabidhi kitita cha sh. milioni moja kwa nahodha wa timu ya vijana wa CCM, Jackson Zola ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa kwa timu hiyo endapo ingeibuka mshidi katika mashindano ya soka kwa timu za vijana wa CCM, iliyoshirikisha majimbo nane ya mkoa wa Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Kinondoni Ndg Emmanuel Makene akizungumza katika hafla hiyo
Shy-Rose akizungumza na wachezaji wa timu hiyo. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...