Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali Mhe John Momose Cheyo, Balozi Dianne Corner, Mhe, Naibu Spika na Mwenyekiti wa kikao, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala Mhe. Angela Kairuki na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa A. Zungu.
 Naibu Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwa na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Dianne Corner ofisini kwake Dodoma leo. Balozi Corner pamoja na mambo mengine alizungumzia Mkutano wa Chama cha Mabunge ya nchi wananchama wa Jumuiya ya Madola (CPA) utakaofanyika Uingereza mapema mwezi ujao. Chama hicho kinatimiza miaka mia moja tangu kianzishwe mwaka 1911.
Picha na Prosper Minja -Bunge. 
  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...