MAREHEMU MAMA ELIGRETER RAYMOND
(MAMA NIWAJWA)
(1936-2011)
KISANGARA- MWANGA- KILIMANJARO

NI SEKUNDE,MASAA,WEEK,MWEZI, NA LEO UMETIMIZA SIKU AROBAINI TOKA TULIPOKUPUMZISHA KATIKA NYUMBA YAKO YA MILELE PALE KATIKA KIJIJI CHAKO CHA KISANGARA. NI VIGUMU KUAMINI KWAMBA MAMA YETU LEO HII HAUPO NASI NA HATUTAKUONA TENA

FAMILIA YA MZEE RAYMOND MCHANI WA KISANGARA MWANGA INAPENDA KUWASHUKURU WAUGUZI WA HOSPITAL YA DR MHANDO ARUSHA, DOKTA MUSTAPHA WA HOSPITAL YA AGA KHAN, UONGOZI WA HOSPITAL YA SELIAN ARUSHA ,NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WALIOKUWA BEGA KWA BEGA WAKATI TUKIMUUGUZA MAMA YETU HADI MAUTI YALIPOMKUTA.HATUNA CHA KUWALIPA ILA MUNGU WA REHEMA AKAWAONGOZE KATIKA MAISHA YENU.

MAMA DAIMA UTAKUMBUKWA NA WANAO ( Frank,Lightnes,Stewart,Godfray,Safiel, na mwanao wa mwisho Emanuel Raymond Mchani) WAJUKUU ZAKO ( Stanley , Catherine Abuel James,Joyce,,Jesca,Graca,Brown,Calvine,Kikumbu,Novaray,Rabia,Piurity,Elton,Alton, na hata ambao hawajazaliwa watakukumbuka milele.

MUNGU WA REHEMA AKAKUPE PUMZIKO LA MILELE, NURU YA USO WAKE IKAKUANGAZIE MILELE.

PUMZIKA KWA AMANI MAMA YETU: 

AMEEN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2011

    Rest in peace mama Niwajwa,,hakika tutakukumbuka daima.Nilikupenda sana mama,japo umeondoka mapema kabla ya kufaidi matunda yangu,ila yote kheri,Mungu akakupe pumziko la milele,nuru ya uso wake ikakuangazie milele na milele.Pumzika kwa amani mama.

    Mwanao Emanuel

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...