Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2011

    Diamond acha umbagala unanwea Juice kwenye chupa?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2011

    safi sana ndugu zetu wa watu wa italy. keep it up! we live in a global village now kwa hiyo umbali si hoja kwenye collabo

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2011

    we vipi hapo juu, umbagala ndo nini... we ushaona mtu kaacha asili yake... mwacha asili mtumwa wewe. sa sikia kijana wetu Diamond, we jiachie uwezavyo, just be you, do things which makes ya feel comfortable coz you will be just alright.

    Waka waka man, big up sana mdau na big up SR!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2011

    Mi hoiii akisema hiyo Naples, Italy..duhhhhh

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 20, 2011

    Diamond anajitahidi sana.japo ndo mara ya kwanza kusafiri na mwenyewe anakwambia katoa nuksi lakini kachangamka kweli. Yani utadhani yeye ndo mwenyeji. Big up lil bro,keep singing and fullfill your dreams. wewe unayesema aache umbagala kwavile anakunywa juice na chupa hiyo ni prefence yake. wee tumia glass kimpango wako. ujue hata ulaya kuna TB na kama anaona glass sio safi mwache apige tarumbeta.. at the end of the day ana-make money wewe uko behind computer stress kibaooooo ndo unabaki ku-hate tu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 20, 2011

    Kwani kunywa juice kwenye chupa kuna ubaya gani?? kama ingekuwa vibaya wasingeiweka kwenye chupa watu wacheni ushamba. Ila hii ngoma ya kizaizai kabla haijatoka hili beat lake tuu mi nshafall in love nalo

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 21, 2011

    mimi nampenda sana diamondi jinsi anavoimba JAMANI KAMA KITU KINAUCHUNGU ANAONESHA KWELI ILA HUYO HAPO JUU MWENYE JUICE KWENYE CHUPA ANAWIVU NDO UTABAKI HUTAENDELEA badala ya kumshauri kuhusu mziki unaongelea umbagala wewe vipi watu wengine bana acha hizo wewe utakufa maskini usipojirekebisha kauli za kibongobongo

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 21, 2011

    watu wengine wivu tu ata asipotumia glass kuna shida gani aliyepewa kapewa tu hata mseme nini kijana kwa sasa zinamtembeleya wewe ulie tu ni kutesa kwa zamu sasa ni zamu yake au vipi kimekuuma sana meza wembe ukalale habari ndio hiyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...