Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu jijini Dar es Salaam Waziri wa Utamaduni , michezo na Utalii  wa Jamhuri ya  Korea Dr.Choung Byoung Gug leo asubuhi. Rais alirejea Dar jana jioni. 

 Wananchi  wa Mbinga wakimsalimia kwa shauku Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kumalizika ibada ya Kumsimika na kuwekwa wakfu kwa Askofu Mpya wa jimbo Katoliki Mbinga,Mhashamu John Ndimbo zilizofanyika katika  kanisa la Mtakatifu Kilian mjini wa Mbinga, mkoani Ruvuma jana mchana.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu  Benjamin Mkapa wakati wa sherehe za kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Mhashamu John Ndimbo,Askofu moya wa jimbo katoliki  la Mbinga,mkoani Ruvuma jana.Kulia ni Mama Anna Mkapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2011

    hilo baraza la wakristo linalotaka rais atoe ushahidi upi tena?wakati kaisha waambia kuna baadhi wamekamtwa na vithibitisho?watanzania tuwe wepesi kuelewa tusiwe wepesi kuwa wabishi kama chadema na wafuasi wao ambao wote ni wahuni na wavutaji

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...