Wazalendo na Wanataaluma Wenzangu;

Naomba kutoa taarifa kuwa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa TPN ulifanyika siku
ya Jumapili Tarehe 05-06-2011 kuanzia saa 8.00 Mchana Luther House DSM.
Baada ya uchaguzi washindi walikuwa kama ifuatavyo

President: Mr. Phares Magesa, Vice President: Mr. Richard Kasesera, Secretary General: Ms. Janet Mbene, Deputy Secretary General: Mr. Daniel Stephen, Treasurer: Mr. Gervas Lufingo, Deputy Treasurer: NIL: (To be contested later by any qualified TPN member) AGM delegated this task to EC

New Members of TPN  Executive Committee (7 positions)

1. Mr. Charles Nazi, Ms. Happiness Mwasyali, 3. Mr. Geofrey Karokola, 4. Mrs. Consolata Maimu, 5. Mr. Paul Masatu, 6. Ms. Modesta Mahiga, 7. Mr. Mobili Isarya


Napenda kwa niaba ya wana TPN wote, kuwapongeza wote waliochaguliwa na
kuwatakia kila la heri katika majukumu yao mapya. Tunaahidi tutawapa
ushirikiano unaostahili katika kutimiza malengo ambayo TPN imejiwekea.

Wasalaam
Mz. Sanctus Mtsimbe
Rais anayemaliza muda wake



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2011

    Naomba website au contact ya Network hii tafadhali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...