UDOM-COLLAGE OF SOCIAL SCIENCE AND HUMANITIES: Wameahirisha kuingia madarasani kwa muda usiojulikana kwa sakata la mafunzo ya vitendo(Field) Kudaiwa kufutwa na TCU.Mpaka sasa wanafunzi hawajahudhuria madarasani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2011

    kozi yao wanataka mafunzo ya vitendo ya nn?siwanasiasa hao?wasome magazeti tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2011

    Mnafuta masomo kwa njia ya vitendo watajifunzia wapi kazi?

    ReplyDelete
  3. NI KWELI HALI SI SHWARI HAPA CHUONI MPAKA SASA WANAFUNZI HATUJAINGIA DARASANI KWA KILE AMBACHO TCU WAMEKIFANYA UKIZINGATIA IMEBAKI WIKI MOJA TUANZE MITIHANI YA KUMALIZA MUHULA AMBAPO SASA WANAFUNZI HATUJAINGIA DARASANI KAMA BUNGE LA WANAFUNZI LILIVYOKUBALIANA HADI HAPO UKWELI WA MAMBO UTAKAPOPATIKANA JUMAPILI.LAKINI HALI ILIYOPO SASA INAONESHA KUWA MAJIBU YASIPOKUWA MAZURI SIKU HIYO YA JUMAPILI HALI NDIO ITAKUWA MBAYA ZAIDI NA KUSABABISHA CHUO KUFUNGWA....KWA HABABRI ZAIDI PIA BOFYA LINK HAPO CHINI

    http://josephatlukaza.blogspot.com/2011/06/breaking-news-wanafunzi-wa-udom.html

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2011

    dah...! poleni sana wadau wangu wa hapo UDOM.
    Hayo ndo maisha ila kazeni buti. Usia wangu msiharibu majengo na jaribuni kuomba haki zenu kwa amani ikibidi muende Mjengoni hapo!
    "We are together wadau"

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2011

    Poleni na kazi za ujenzi wa Taifa.

    Napenda kuchukua nafasi hii kuwaomba nyinyi kama kiongozi kwa jamii, mtusaidie kutoa au kutujulisha kama matokeo ya CBE - mwanza yametoka au yatatangazwa kenye gazeti.

    Maana sisi wapenzi wa blog yako tunapata vitu vizuri na vyakuelimisha jamii.

    Ahsante.

    ReplyDelete
  6. udom inatuchosha sasa ivi sie wanaudom.......measures tena strong ones shud be taken...la cvyo tutatoka na bora elimu...inasikitisha....siasa mpaka kwenye elimu...tunatengeneza wasomi wa aina gani?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 11, 2011

    jamani mgomo co mzuri wana udom wenzangu mimi mwana informatics wa hapo udom na wenzangu college nzima tupo nyumbani na hatujui hatma yetu so ushauri wangu ingieni madarasni kwani nyumbani hali c shwari kabisaaaa wazazi wetu maskini........
    mdau udom(informatics)suspended....!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 11, 2011

    jamani watoto wa kulima wenzangu naombeni mkae na mtafakali kule mlikotoka mkiona mnaweza kusoma na mkamamaliza shule bila field basi changamkeni na mludishe magamba vijijin kwenu na mkajitolee ktk ofic mbalimbali mi nahc itakua n field tosha na mnaweza mkapata ajira na uzoefu mkubwaaaaaaaaaaaa.......!

    ReplyDelete
  9. Poleni wana UDOM kwa suala lenu.Hapo wala msishangae wadau ni SIASA hizo zao hizo ndo zinawaathiri wadau lakini KOMAENI KIBISHI mpaka kieleweke. Asante.Mdau wenu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...