Bi. Veronica Mande akiwa katika pozi.
Mdau Humphrey Millinga na mai waifu wake,Veronica Mande wakionyesha nondozz zao mara baada ya kumeremeta katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar.
Maharusi wakipongezwa na Mchungaji mara baada ya kumeremeta.


Hongera sana mzee Humphery.. Best wishes!!
ReplyDeleteMdau Yokohama!!
Mtoto amependeza sana hongera
ReplyDeleteCongrats my Nica tuli-enjoy kinoma that day.
ReplyDeleteAll da best in ur new life.