Marehemu Msafiri Hassan Kalipeni
Mwili wa Marehemu Msafiri Hassan Kalipeni aliyefariki dunia juzi jijini Dar es salaam kwa shinikizo la damu unasfirishwa asubuhi hii kuelekea Morogoro kwa mazishi kutokea nyumbani kwake Kinondoni B jijini Dar. Marehemu alikuwa mfanyakazai wa benki ya maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) hadi umauti ulipomkuta. 

Mola na aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi
 - AMIN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2011

    jamani mzee msafiri!! mungu ailaze roho yako pema peponi amina.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2011

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, poleni sana wafiwa hasa mke wa mrehemu Bi Zena na watoto,
    M/mungu inshaallah atawapa tahfif katika kipindi hiki kigumu, kumbukeni dua kwa marehemu ni muhimu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2011

    Jamani imenistua. Mr. Msafiri alikuwa MTU WA WATU. Nitamkumbuka kwa Upendo aliokuwa nao kwa kila mtu. Ninamuomba Mungu wetu akawe Faraja pekee katika familia yake aliyoacha. Amen.

    ReplyDelete
  4. Innaalilah wainna ilaihi raajioun,
    mola wetu akusameh madhambi yako,
    akupe kauli thabit,
    akuangazie nuru ktk kaburi lako na inshaaLlah upokee kitabu chako kwa mkono wa kulia uncle MSAFIR,
    Hatutakusahau daima dawam..
    HAKUNA KITAKACHO BAKI, BAKI ALLAH PEKEE..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...