Toka shoto ni John Mpapalika, mwakilishi  wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia tekinolojia ya habari na mawasiliano (ITU) Kusini mwa Afrika, Thapelo Mogopa wa Mamlaka ya Mawasiliano Botswana na Isaac Mruma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania wakiwa kwenye  kwenye Mkutano wa mwaka wa maafisa wa taasisi za tekinohama kwenye nchi wanachama wa Jumiya ya Ushirikiano Kusini mwa Africa SADC unaofanyika Gaborone, Botswana.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...