Watanzania wameshiriki kikamilifu leo katika matembezi ya Susan G Komen - race for the cure - katika viwanja vya National Mall mjini Washington, DC. Matembezi haya ni kuhamasisha upigaji vita wa ugonjwa wa saratani ya matiti katika mkakati ulioasisiwa na Suzan G Komen, ambapo mwaka huu watu elfu arobaini wameshiriki
 Team Tanzania baada ya matembezi hayo
 Tanzania oye!
 Walioandaa Team Tanzania Naleta Kassemba na aunty yake Joyce Kassembe

 Wakiwakilisha Team Tanzania katika jukwaa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...