Afisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mercy Mrutu akizungumza na Wasanii wa Kikundi cha Mizengwe Habib Mrisho jina la kisanii OHA (wa pili kulia) na Jesca Kindole jina la kisanii SAFINA (wa pili kushoto) wakati wasanii hao walipolitembelea Banda la Tume kwa ajili ya kutaka kujua Sheria za Haki Miliki na changamoto zinazowakabili wakati wa maadhimisho wa Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi mmoja Dra es Slaam, aliyesimama ni Ofisa Sheria wa Tume Marlin Komba.

Msanii Habib Mrisho(OHA) akimsisitizia jambo Ofisa Sheria wa Tume Mercy Mrutu wakati wasanii hao walipolitembelea Banda la Tume kwa lengo la kupata ufafanuzi wa kisheria kuhusiana na masuala ya Haki Miliki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2011

    alela yuko wapi

    ReplyDelete
  2. Eeee Bana Misupu,

    Hao jamaa wananifurahishaga sana kwenye vile vichekesho vyao vya mizengwe hasa yule jamaa mwenye mvimvi yule sijui kapaka unga au Mzee kwelikweli?

    Hebu naomba warudie ule Mchezo ambapo yule jamaa mwenye mvimvi alichukua tenda ya UPISHI kwenye Msiba halafu akaingia nyasini akaenda kuspendi na Demu.

    Jamaa alivyokuwa anayarudi mayenu-msondo alinikuna sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...