Home
Unlabelled
yanga na el mereikh zatoka sare 2-2 kombe la kagame castle cup
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
MASHABIKI WA YANGA WAKISHANGILIA MOJA KATI YA MAGOLI YALIYOFUNGWA NA TIMU YAO |
PICHA YA PAMOJA YA MANAHODHA WA TIMU ZOTE NA WAAMUZI |
MASHABIKI WA SIMBA WAKIIPA SAPOTI EL-MEREIKH |
KIKOSI CHA YANGA. |
KIKOSI CHA EL-MEREIKH YA SUDAN. Picha zote na Francis Dande wa Globu ya Jamii |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa kweli Mechi ya jana ya Yanga ndio ilikuwa ufunguzi. Mechi ya Juzi ni bonanza tu! maana mpira ulipigwa jana si wa mchezo maana ulikuwa ni wa hali ya Juu sana. nawapa pongezi Yanga kwa kiwango walichokionyesha maana wamefanya maandalizi kwa kipindi kifupi lakini wameweza kutupa burudani ambayo kwa wanaojua mpira watakuwa wamefaidi kwa kiassi kikubwa. matatizo kama yapo yatakuwa yanarekebishika kwani hata Roma haikujengwa kwa siku moja. ila kwa kweli mmetupa moyo sana sisi wapenzi wa mpira. Timu nyingine wanabaki kucheza na Rufaa mkononi. Jana mmepata aibu na Rufaa zenu. mngekata nyingine kuwa Refa alikunywa bia 2 za baridi kabla ya mechi haijaanza! maana mnapenda kulalamika ovyo ovyo kama kondakta wa daladala!
ReplyDeleteMASHABIKI WA SIMBA MNAONYESHA KIASI GANI HAMNA UZALENDO MECHI KAMA HII ILIBIDI MUWEKE U-SIMBA NA U-YANGA PEMBENI NA KWA PAMOJA MUISHANGILIE YANGA ILI KUWAPA MOYO VIJANA WA NYUMBANI.
ReplyDelete