Home
Unlabelled
bendera ya tanganyika 1919-1961
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MH! naombeni msaada wenu wadau, Hivi bendera ikiwa na rangi nyekundu si inamaana hiyo nchi ilimwaga dmu? au historia niliyosoma ilikuwa si ya kweli? sasa kama ni hivyo iweje tanzania tuwe na bendera yernye rangi nyekundu wakati hatukumwaga damu?
ReplyDeleteAnony wa kwanza labda ungeelewa kwamba mdau aliuliza swali kama hizo ndizo bendera za Tanganyika kabla ya uhuru? Tofautisha pia Tanganyika na Tanzania.
ReplyDeleteMimi ninvyoona kama hizo ndizo zilizokuwa bendera za wakati zilikuwa zinawakilisha wakoloni waliotutawala na sio mambo ya kumwaga damu au kutomwaga damu. Hizo bendera mkiziangalia zinawakalisha Uingerza ambayo bdiyo nchi iliyotawala tanzania katika kipindi cha 1919......19961.
lakini nikirudi kwenye historia yako bado naona hata bendera ya sasa ya Tanzania bado ingepaswa iwe na rangi nyekundu kwa sababu damu ilimwagika wakati wa mkoloni. Kumbuka vita ya MajiMaji. Wajerumani waliua watanzania (watanganyika kwa wakati huo) wapatao laki tatu. Uwakumbuke pia na akina Mtemi Mkwawa na wengine wengi waliopoteza maisha yao wakati wa ukoloni. Na hata kama tumeungana na zanzibar, bado rangi nyekundu ingetakiwa kwani Zanzibar walimwaga damu katika mapinduzi. Je hawa hawawezi kujumuishwa katika watu waliopigania uhuru wa nchi yetu? Kwa hiyo kama historia yako ni ya kweli, basi bendera ya Tanzania ilitakiwa iwe na rangi nyekundu.
Tulimwaga damu sana Tanzania na Zanzibar. Lakini tumeshauriwa tusijikumbushe hayo yamepita ili tuishi kwa amani na tupate misaada.
ReplyDeleteSio lazima sababu kumemwagika maji ndio iwe Nyekundu lazima kusahau Mabaya jamani Mandela aliwafanya wazungu wajinga kwa kuwapuuzia umeona limewaumiza makosa yao.
ReplyDeletehttp://www.britishpathe.com/
ReplyDeleteHiyo Website hapo juu andikeni Tanganyika au Zanzibar mtaona enzi za uhuru na kabla ya uhuru Tanzania na pia ufisadi wa UK waliufanya kujifanya wanatengeneza Barabara kumbe wanaiba mazao ya Karanga kuuza nje ndio kipindi hiko ilikuwa bishara kubwa UFISADI tumerisi na Tabia hata za michezo tumerisi WAENGEREZA bora hata tungerisi WAJERUMANI tusingekuwa wavivu. MZ
Mimi nadhani bendera hizi zirejeshwe na hasa ile nyekundu pili muungano wetu utakapotambua kuwa umuhimu wa kuwepo bendera ya Tanganyika kwaajili ya serikali ya Tanganyika.
ReplyDeleteWanablogu lazima watambue mfano mdoogo wa Muungano, siku zote kwakutumia uzoefu wa mahusiano, muungano una matokeo yafuatayo;
1. Muungano wa vitu viwili kuzaa kimoja an kuwa kitu kimoja ( Kuunganika)
2. Muungano wa vitu viwili kuzaa kitu cha tatu, ikiwa kile cha tatu ndicho kinaelezea na kuleta maana ya kuwa wana mtizamo wa kitu kimoja na uchungu sawa kwa kile kimoja mfano, katika ndoa ya watu wawili kuzaa watoto, ikiwa watoto ndio kiungo cha wale wawili.
Mwisho umuhimu wa kuwepo Tanganyika ni mkubwa maana ni kama ndoa iliyoondokewa na mwanandoa mmoja, ambaye ni Tanganyika na bendera yake nyekundu na twiga katikati.
Wadau mi najua hiyo nyekundu ndio haswaa ilikua bendera ya mkoloni kati ya mwaka 1919 - 1961, ila hiyo ya bluu sina uhakika nayo na wala sina taarifa zake za kutosha.
ReplyDelete