EPHRAIM BALOZI MAFURU
Ephraim Balozi Mafuru  has been appointed as Director of Marketing at Serengeti Breweries Limited (SBL), reporting to the Managing Director.  Ephraim joins SBL from Consultancy firm Hillside Investment Company Limited where he was one of the directors.
Mafuru holds an MBA from the University of Dar-Es-Salaam Business School, BCOM in Marketing (UDBS) and a Diploma in Business Administration (Marketing) from CBE – Dar-Es-Salaam.
Mafuru started his career with Kibo Breweries Limited as a Sales Representative in Dar-Es-Salaam, before moving to Morogoro and Dodoma. 

After spending time in Sales and Distribution for 9 months he joined the Marketing Department as an Assistant Brand Manager for Malta Guinness. In July 2005, Mafuru  joined Vodacom Tanzania as Marketing Manager, and rose through  the ranks to become the Head of Marketing and later Marketing Director, a position he held up to December 2010 when he went into private consultancy. 
Mafuru was the first President of AIESEC Tanzania and now sits in the Board of Advisors for AIESEC University of Dar-Es-Salaam. 

He is Vice-President of the Alumni Association for the University of Dar-Es-Salaam Business School. Mafuru is also a member of an array of organizations, including the National Presidential Committee for FIFA 2010 World Cup and Brand Tanzania Task Force.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2011

    Hungera sana MR Mafuru, nakufahamu wewe nimchapakazi mzuri sana, na sehemu zote zakazi ulizo pita ulileta mafanikio makubwa sana, hasa ulipo kuwa VODA... Naamini SBL watapata mafanikio makubwa sana hasa katika ulimwengu huu wa Ushindani. Nipo Sweden for holiday nikirudi TZ nakutafuta nikupe mkono wa pongezi. SIXMUND.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2011

    Hongera mkuu,maana yule wa wizara ya nishati na madini leo amesimamishwa kazi kwa uchunguzi wa matumizi mabaya ya fedha na wewe umeongezewa kazi kwa juhudi na uwajibikaji wako.
    Watanzania tuwe na uwajibikaji na ufanisi kwenye vyeo vyetu ili tuweze kujikwamua kwenye huu uchakachuaji wa mali ya umma,mali ya walipa kodi ili nao walipa kodi waone faida ya nchi yao.
    Mkuu Mafuru unawakilisha utendaji mzuri wa kazi na mfano bora wa kuigwa na ndio maana umefikia hapo; kama na wewe ungekuwa mchakachuaji sidhani ungefika hapo .
    Vijana huu ndio uongozi unaotufaa ,maana mtiririko wa kazi unauona na sio siasa za blaablaa

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2011

    niliwahi kukutana na Kaka Mafuru tukaongea kwa muda kidogo,ninachoweza sema huyu bwana ni miongoni mwa wanataaluma wanaonivutia sana na pia ni mfano wa kuigwa haswa kwetu sisi vijana,sina shaka na uwezo wake,nimekuwa namfuatilia na kujifunza kutoka kwake kwa muda mrefu,HONGERA SANA KAKA,

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 22, 2011

    Congratulations. SBL are lucky to have you.@ Mmasai from Loliondo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 22, 2011

    Way to go kaka hongera sana kaka mafuru mipia nafahamu utendaji wako.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2011

    Hongera uongozi wa SBL kwa kujali wazalendo hasa kwenye zile nafasi ambazo tuna wazawa wenye uzoefu na uwezo wa kutosha ingakuwa kampuni nyingine ingatuletea Makaburu wakutosha. hakikisheni maslahi yake yanaendana na directors wakizungu sio kwasababu mzawa alipwe kidogo kama kampuni nyingine wanavyofanya kwa kuwalipa maslahi duni wazawa na kuwajali zaidi Makaburu wakati mwingine hata kwenye kazi ambazo hawana utaalamu nazo ukiuliza oooh hawa wawekezaji ndio waleta mitaji. Kampuni nyingine igeni mfano wa SBL.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 26, 2011

    kazi kwaki kaka..tanzania breweries si mpinzani kitoto...hongera!

    ReplyDelete
  8. kijana unatisha.nimekufahamu ukiwa vodacom ulikuwa unakimbiza sana sokoni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...