Ankal akiwa na wakongwe kadhaa wa muziki nchini kwenye mazishi ya mwanamuziki wa Mwenge Jazz Band "Wana Paselepa" Mabruki Mohamed aliyefariki jana jijini Dar na kuzikwa leo katika makaburi ya Kisutu
Waombolezaji ikiwa ni pamoja na wanamuziki wakonge msibani hapo
![]() |
wadau mbalimbali msibani |
Mabruki alikuwa mtu wa watu
Duh! watu wapo makaburini wanazika huku wanacheka? Hongera ankal angalau unaonekana kuwa una "emotions" kuliko wengine wote hapo.
ReplyDelete