Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude(kulia) akimwangalia mrembo anaeshiriki Miss Kinondoni  Fatma Pongwe, akichora mnyama aina ya Twiga katika shindano la kusaka vipaji lilofanyika hapo jana katika hoteli ya Giraffe.Vodacom Tanzania ndiyo wadhamini wakuu wa shindano la Miss Tanzania.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...