Mzee Constantine Osward Millinga akielezea historia ya chama cha TANU wakati wa sherehe za kuzaliwa kwa chama hicho katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar huku Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete na Makamu wa CCM Bara Mh. Pius Msekwa wakimsikiliza
Mzee Constantine Osward Millinga (90), mmoja kati ya waasisi watatu kati ya 17 wa TANU walio hai akiongea wakati wa maadhimisho ya kuzaliwa kwa chama hicho cha kwanza cha siasa nchini ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar Julai 7, 2011

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ZeroBrainJuly 08, 2011

    Ee Bwana Misupu huyo UWT mbona this time amekaa hapo mbeleni?

    Sijawahi kuona hii. Au ndo wanaogopa JK yasimkute kama yale yaliyomkuta Mzee Ruksa?

    Kazi ipo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2011

    umekata stimu tuwekee kipande kilichobaki

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...