Seminar ya how to start your own business iliyooendeshwa na Achievers Club na kuwezeshwa na Rosemary wakitwange katika Chuo Kikuu cha Mmzumbe University cha Morogoroilifanikiwa sana na  kila mwanachuo aliyehudhuria aliguswa nayo sana na ia members wengi walijiandikisha, 
 Wanachuo katika semina
 Rose Mwakitwange akitoa mada yake iliyosisimua wengi
 Rose Mwakitwange (kulia) akikabidhi cheti kwa mmoja wa wanafunzi
aliohudhuria katika picha na muwezeshaji Rose Mwakitwange. kkauli ya mwazilishi ni :tunakaribisha watu wote wajiunge Achievers Club. Hii ni club ya watu wanaotaka na waliofanikiwa. Sisi lugha zetu tu ni mambo ya biashara  na uongozi. Tanzania tunahitaji wanafanyabiashara wa kutosha ili waweze kushindana nje ya nchi na kuteka duinia. Pia tuanahitaji viongozi watakao ongoza taasisi za dunia ili kupiginania masilahi ya Tanzania nayobinywa na mataifa mengine. Kwa umoja lazima tuitawale dunia.
 
kwa vyuo na watu wanaotaka kufungua matawi ya
Achiever Clubs  zaidi wawasiliane  na  namba zifuatazo: 
0717109362
                                                                       0717109362

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...