Msafanyabiashara  ya usafiri mjini Songea mkoani Ruvuma ambaye jina lake halikuweza  kufahamika mara moja  akisafirisha abiria  wake katika eneo la Lizabon mjini Songea jana kama alivyokutwa na mpigapicha wetu ,usafiri  huo wa piki piki (Boda boda) umeteka  soko la usafiri  wa daladala na Taxi katika mji  wa Songea
 Kituo kikuu cha Bodaboda Songea
 Mmiliki  wa blogu ya Francis Godwin akiwa amepanda boda boda mjini Songea mkoani Ruvuma jana baada ya  kufanyamahojiano na mwanzilishi  wa usafiri  wa Boda boda mkoa  wa Ruvuma  Bw.Abubakari Mohamed (anayeendesha) picha namba 8 ni mahojiano maalum na blogu ya Francis Godwin
Francis Godwin akiwa katika mahojiano na mwanzilishi  wa usafiri  wa Boda boda mkoa  wa Ruvuma  Bw.Abubakari Mohamed

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2011

    Naona jamaa kapiga fulana ya Cleveland Browns!

    Inabidi niwatumie jamaa wa Browns waone jinsi walivyo na washabiki:

    http://www.clevelandbrowns.com/

    Go Browns!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...