Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2011

    Kwa kweli nimeikubali sana kazi ya C-Sir. Maana imenifurahisha sana. Big up huo ni mwanzo tu. Fanya kweli ili uweze kufika mbali zaidi. Ujumbe uliyokuwa ndani ya wimbo pamoja na video nimekubali kwamba wewe ni mkali.

    Kalley
    Washington DC.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 17, 2011

    Kajitahidi sana. Wosia wangu kwake asivimbe kichwa na kwa kuanza kukimbiliwa na mashuga mami wa mjini waliokubuhu kwa kubadilisha wanaume mastaa na kujikuta anaishi kwenye single hii tu. Maana hawa huwa hawakawii baada ya kupata jina

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 17, 2011

    Sio siri, dogo kanichekesha sana!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 17, 2011

    KIFUNGO HURU IMETULIA TULIA SIO MWANZO MBAYA. ONGEZA BIDII

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...