Mdau Elias Kitambi akipongezwa na Vice President of Education, Dr. Leslie Gargioulo.
Mdau Elias akipongezwa na Director of Education, John Riser baada ya kula nondozz.
Mdau Elias akiwa na mdau mwenzake kutoka Tanzania wakiwa na furaha baada ya kupata nondozz zao (BS of computer information management).
Mdau akiwa na my wife to be wake na mdau mwingine wakiwa ni wenye nyuso za furaha.
Wahitimu katika picha ya pamoja wakiwa wenye furaha baada ya kukabidhiwa nondozz.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2011

    Hi all, Hongera wadau kwa kula NONDOTH, ni vema na vijana wengine kuiga mifano hapa na wengine duniani kwani kula huku kuna manufaa kwako na kwa Taifa lako. Hongera Elias
    Amiri Sheha
    rifffle@yahoo.com

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 17, 2011

    Hongereni saaana wadau na mmpendeza sana.
    Nimependezewa na comment ya mdau hapo juu. ni kweli vijana tunatakiwa tuige mifano ya Nondooz sio kuparty.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...