Wachezaji wa Yanga wakiwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda (katikati),Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye (kulia) walipopeleka Kombe la ubingwa wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) na Kombe la ubingwa wa Tanzania Bara, bungeni Dodoma, leo. 
(PICHA ZOTE NA MARGARETH KINABO-MAELEZO) Spika wa bunge akisalimiana na wachezaji wa Yanga bungeni Dodoma leo Waziri wa TAMISEMI, George Mkuchika (kushoto), Christopher Chiiza (katikati) na Mohamed Misanga wakifurahia kimbe la yanga la ubingwa wa Afrika Mashariki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Solomoni MahlanguJuly 23, 2011

    Inasaidia nini kupeleka makombe ya chienyeji bungeni badala ya BUNGE kuwa sehemu ya kujadili mambo ya muhimu kama Umeme, Jairo, Ngeleja et al., imekuwa sehemu ya kutafuta umaarufu wa chienyeji mbona hamleti ubingwa wa Africa tujue mnajua mpira. Sijawahi kusikia Manchester wamepeleka kombe Bungeni that is bogus. Ujinga mtupu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2011

    How sad to see MPs wasting public funds!! Instead of working they were happy celebrating Yanga's victory. Bunge Office should deduct from their allowances all the time spent outside Bunge. Teams win World Cups but don't take their celebrations to the law makers. JK, dissolve this Bunge, they are basically doing nothing.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2011

    Michezo ni sehemu ya maendeleo kwa jamii duniani kote, tena ni biashara kubwa sana inayoingiza mamilion ya fedha, halafu inasaidia matatizo sugu ya kukosa ajira kwa vijana. Baada ya mijadala mikali bungeni na hasa hoja zinazotolewa na CHADEMA ni vizuri sana michezo ikaleta faraja kwa waheshimiwa wabunge, ushindi wa Yanga umefika wakati muafaka kwa Taifa letu,HONGERA SANA YANGA, tunategemea makubwa mwakani kombe la klabu bingwa Afrika.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2011

    Mdau wa kwanza na wa pili BIG UP SANAAA mumetoa ujumbe wa maana sana nami nakubaliana na nyinyi.Tanzania kuna mambo ya ajabu ajabu sana SOMETIMES yaani hadi inatia aibu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2011

    Simba bwana, hata hili wanadai Yanga kabebwa!! Ulalamishi ni tabia ya jamii yoyote ambayo ni second....e.g. mke mdogo. Mnalo!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2011

    Mi dukuduku langu ni juu ya dressing code ilotumiwa na yanga!!Truck suits bungeni!!!!??I expected to saw u guys ndani ya suti za ukweli, smart and presentable!!Mtavaaje ka mnaenda mazoezini bana??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...